The chat will start when you send the first message.
1Utawalaji na utisho uko kwake
2anayepatengemanisha pake palipo huko juu.
3Je? Vikosi vyake vinahesabika? Yuko nani asiyetokewa na mwanga wake?
4Kwa hiyo mtu atawezaje kuwa mwongofu machoni pake Mungu? Aliyezaliwa na mwanamke atawezaje kutakata?[#Iy. 9:2.]
5Ukiutazama mwezi utauona: hauangazi kabisa, wala nyota hazitakati machoni pake.[#Iy. 15:15.]
6Sembuse mtu aliye dudu! Sembuse mwana wa Adamu aliye funyo![#Iy. 4:19-20.]
Iyobu akajibu akisema: