Ufunuo 2

Ufunuo 2

Barua ya Yesu kwa Kanisa la Efeso

1“Andika hivi kwa malaika wa kanisa lililoko Efeso:[#2:1 Ama mwakilishi wa kanisa. Pia katika mstari wa 8,12 na 18 na pia katika barua zinazofuata Sura 3:1,7 na 14.]

Huu ni ujumbe kutoka kwake yeye anayeshikilia nyota saba katika mkono wake wa kulia na kutembea katikati ya vinara vya taa saba vya dhahabu.

Barua ya Yesu kwa Kanisa la Smirna

8Andika hivi kwa malaika wa kanisa lililoko Smirna:

“Huu ni ujumbe kutoka kwake aliye wa Kwanza na wa Mwisho, aliyekufa na akawa hai tena.

Barua ya Yesu kwa Kanisa la Pergamo

12Andika hivi kwa malaika wa kanisa lililoko Pergamo:

Huu ni ujumbe kutoka kwake aliye na upanga wenye makali kuwili unaotoka katika kinywa chake.

Barua ya Yesu kwa Kanisa la Thiatira

18Andika hivi kwa malaika wa kanisa lililoko Thiatira:

Huu ni ujumbe kutoka kwa Mwana wa Mungu, aliye na macho yanayong'aa kama moto na miguu kama shaba inayong'aa.

Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi Toleo la Awali © 2017 Bible League International
Published by: Bible League International