1 Nyakati 2

1 Nyakati 2

Wana wa Israeli

Yuda

3Wana wa Yuda walikuwa:

5Wana wa Peresi walikuwa:

6Wana wa Zera walikuwa:

7Mwana wa Karmi alikuwa:

8Mwana wa Ethani alikuwa:

9Wana wa Hesroni walikuwa:

10Ramu alimzaa Aminadabu,

naye Aminadabu akamzaa Nashoni, kiongozi wa kabila la Yuda.

11Nashoni akamzaa Salmoni,

Salmoni akamzaa Boazi,

12Boazi akamzaa Obedi,

Obedi akamzaa Yese.

13Yese akawazaa

18Kalebu mwana wa Hesroni akazaa wana na mkewe Azuba (na pia na Yeriothi). Hawa ndio wana Azuba aliomzalia Kalebu:

19Azuba alipofariki, Kalebu akamwoa Efrata, aliyemzalia Huri.

21Hatimaye, Hesroni alipokuwa na umri wa miaka sitini, alimwoa binti Makiri, babaye Gileadi. Akakutana kimwili naye, akamzalia Segubu.

24Baada ya Hesroni kufa huko Kalebu-Efrata, Abiya mjane wa Hesroni akamzalia Ashuru, aliye baba wa Tekoa.

25Wana wa Yerameeli mzaliwa wa kwanza wa Hesroni walikuwa:

27Wana wa Ramu mzaliwa wa kwanza wa Yerameeli walikuwa:

28Wana wa Onamu walikuwa:

Wana wa Shamai walikuwa:

30Wana wa Nadabu walikuwa

31Apaimu akamzaa:

32Wana wa Yada, nduguye Shamai walikuwa:

33Wana wa Yonathani walikuwa:

34Sheshani hakuwa na watoto wa kiume, ila watoto wa kike tu.

36Atai akamzaa Nathani,

Nathani akamzaa Zabadi,

37Zabadi akamzaa Eflali,

Eflali akamzaa Obedi,

38Obedi akamzaa Yehu,

Yehu akamzaa Azaria,

39Azaria akamzaa Helesi,

Helesi akamzaa Eleasa,

40Eleasa akamzaa Sismai,

Sismai akamzaa Shalumu,

41Shalumu akamzaa Yekamia,

naye Yekamia akamzaa Elishama.

42Wana wa Kalebu nduguye Yerameeli walikuwa:

43Hebroni alikuwa na wana wanne:

44Shema alikuwa baba yake Rahamu na Rahamu alikuwa baba wa Yorkeamu

45Shamai akamzaa Maoni,

46Efa, suria wa Kalebu aliwazaa:

47Wana wa Yadai walikuwa:

48Maaka suria wa Kalebu alikuwa mamaye

Kalebu alikuwa na binti jina lake Aksa.

Wana wa Huri, mzaliwa wa kwanza wa Efrata, walikuwa:

52Wazao wa Shobali, baba yake Kiriath-Yearimu, walikuwa:

54Wazao wa Salma walikuwa:

Neno: Biblia Takatifu™ Neno™ Hakimiliki © 1984, 1989, 2009, 2015, 2025 na Biblica, Inc. Imetumiwa kwa ruhusa. Haki zote zimehifadhiwa duniani kote. Kiswahili Contemporary Version™ Copyright © 1984, 1989, 2009, 2015, 2025 by Biblica, Inc. Used with permission. All rights reserved worldwide.
Published by: Biblica, Inc.