1 Nyakati 8

1 Nyakati 8

Ukoo wa Sauli Mbenyamini

1Benyamini akamzaa:

3Wana wa Bela walikuwa:

6Hawa ndio wazao wa Ehudi, waliokuwa viongozi wa jamaa za wale walioishi huko Geba na ambao walihamishiwa Manahathi:

8Shaharaimu aliwazaa wana katika nchi ya Moabu baada ya kuwapa talaka wake zake wawili yaani Hushimu na Baara.

9Kwa mkewe Hodeshi, akawazaa wana saba: Yobabu, Sibia, Mesha, Malkamu,

10Yeuzi, Sakia na Mirma. Hao walikuwa wanawe, viongozi wa jamaa zao.

11Hushimu alimzalia: Abitubu na Elpaali.

12Wana wa Elpaali walikuwa:

14Wana wa Beria walikuwa Ahio, Shashaki, Yeremothi,

15Zebadia, Aradi, Ederi,

16Mikaeli, Ishpa, na Yoha.

17Zebadia, Meshulamu, Hizki, Heberi,

18Ishmerai, Izlia na Yobabu ndio walikuwa wana wa Elpaali.

19Yakimu, Zikri, Zabdi,

20Elienai, Silethai, Elieli,

21Adaya, Beraya na Shimrathi walikuwa wana wa Shimei.

22Wana wa Shashaki walikuwa Ishpani, Eberi, Elieli,

23Abdoni, Zikri, Hanani,

24Hanania, Elamu, Anthothiya,

25Ifdeya na Penueli.

26Shamsherai, Sheharia, Athalia,

27Yaareshia, Eliya na Zikri walikuwa wana wa Yerohamu.

29Yeieli alikuwa baba yake Gibeoni naye aliishi huko Gibeoni.

33Neri akamzaa Kishi, Kishi akamzaa Sauli, Sauli akamzaa Yonathani, Malki-Shua, Abinadabu na Esh-Baali.

34Yonathani akamzaa:

35Wana wa Mika walikuwa:

38Aseli alikuwa na wana sita; haya ndiyo majina yao:

39Wana wa Esheki, nduguye Aseli, walikuwa:

Hawa wote ndio walikuwa wazao wa Benyamini.

Neno: Biblia Takatifu™ Neno™ Hakimiliki © 1984, 1989, 2009, 2015, 2025 na Biblica, Inc. Imetumiwa kwa ruhusa. Haki zote zimehifadhiwa duniani kote. Kiswahili Contemporary Version™ Copyright © 1984, 1989, 2009, 2015, 2025 by Biblica, Inc. Used with permission. All rights reserved worldwide.
Published by: Biblica, Inc.