The chat will start when you send the first message.
1Mtukuzeni Bwana, nyote mlio watumishi wa Bwana, msimamao na usiku Nyumbani mwake Bwana!
2Iinueni mikono yenu hapo Patakatifu! Mtukuzeni Bwana!
3Bwana akubariki toka Sioni, yeye aliyeziumba mbingu na nchi![#Sh. 115:15; 128:5.]