The chat will start when you send the first message.
Mzaliwa wa kwanza alikuwa Amnoni ambaye mama yake aliitwa Ahinoamu wa Yezreeli;
wa pili, Danieli ambaye mama yake aliitwa Abigaili wa Karmeli;
2wa tatu alikuwa Absalomu, ambaye mama yake aliitwa Maaka, binti Talmai mfalme wa Geshuri;
wa nne, Adoniya, ambaye mama yake aliitwa Hagithi;
3wa tano alikuwa Shefatia ambaye mama yake aliitwa Abitali;
wa sita alikuwa Ithreamu, aliyezaliwa na mke wake Egla.
mkewe Bathsheba, binti Amieli, alimzalia wana wanne: Shamua, Shobabu, Nathani na Sulemani.
6Pia kulikuwa na wana wengine: Ibihari, Elishua, Elifeleti,
7Noga, Nefegi, Yafia,
8Elishama, Eliada na Elifeleti; wote walikuwa tisa.
10Mwana wa Sulemani alikuwa Rehoboamu,
mwanawe huyo alikuwa Abiya,
mwanawe huyo alikuwa Yehoshafati,
mwanawe huyo alikuwa Asa,
11mwanawe huyo alikuwa Yehoramu,
mwanawe huyo alikuwa Ahazia,
mwanawe huyo alikuwa Yoashi,
12mwanawe huyo alikuwa Amazia,
mwanawe huyo alikuwa Azaria,
mwanawe huyo alikuwa Yothamu,
13mwanawe huyo alikuwa Ahazi,
mwanawe huyo alikuwa Hezekia,
mwanawe huyo alikuwa Manase,
14mwanawe huyo alikuwa Amoni
na mwanawe huyo alikuwa Yosia.
15Wana wa Yosia walikuwa:
16Walioingia mahali pa Yehoyakimu kama wafalme ni:
17Hawa walikuwa wazao wa Yekonia aliyekuwa mateka:
19Wana wa Pedaya walikuwa:
Wana wa Zerubabeli walikuwa:
21Wazao wa Hanania walikuwa:
22Wazao wa Shekania:
23Wana wa Nearia walikuwa:
24Wana wa Elioenai walikuwa: