The chat will start when you send the first message.
1Njoni, enyi watumishi wote wa BWANA,[#Law 8:35; 1 Nya 9:33; Zab 130:6; Lk 2:37]
Mhimidini BWANA
Ninyi mnaohudumu usiku
Katika nyumba ya BWANA.
2Painulieni patakatifu mikono yenu,[#Zab 28:2; 1 Tim 2:8]
Na kumhimidi BWANA.
3BWANA akubariki toka Sayuni,[#Zab 124:8; 128:5]
Aliyeziumba mbingu na nchi.