The chat will start when you send the first message.
1Mshangilieni Bwana, ninyi wamizimu wote! ninyi makabila yote ya watu, msifuni![#Rom. 15:11.]
2Kwani upole wake hutenda makuu kwetu sisi, nao welekevu wake Bwana ni wa kale na kale! Haleluya![#2 Mose 34:6.]