The chat will start when you send the first message.
1Adamu, Sethi, Enoshi,
2Kenani, Mahalaleli, Yaredi,
3Henoko, Methusela, Lameki,
Nuhu.
5Wana wa Yafethi walikuwa:
6Wana wa Gomeri walikuwa:
7Wana wa Yavani walikuwa:
8Wana wa Hamu walikuwa:
9Wana wa Kushi walikuwa:
Wana wa Raama walikuwa:
10Kushi akamzaa
11Misri akawazaa:
13Wana wa Kanaani walikuwa:
17Wana wa Shemu walikuwa:
Wana wa Aramu walikuwa:
18Arfaksadi akamzaa Shela,
19Eberi alipata wana wawili:
20Wana wa Yoktani walikuwa:
24Wana wa Shemu walikuwa Arfaksadi, Shela,
25Eberi, Pelegi, Reu,
26Serugi, Nahori, Tera,
27Tera akamzaa Abramu (yaani Abrahamu).
29Hawa ndio wazao wao:
32Wana waliozaliwa na Ketura suria wa Abrahamu walikuwa:
Wana wa Yokshani walikuwa:
33Wana wa Midiani walikuwa:
Wana wa Isaka walikuwa:
35Wana wa Esau walikuwa:
36Wana wa Elifazi walikuwa:
37Wana wa Reueli walikuwa:
(Mwa 36:20‑30)38Wana wa Seiri walikuwa:
39Wana wa Lotani walikuwa wawili:
40Wana wa Shobali walikuwa:
Wana wa Sibeoni walikuwa:
41Mwana wa Ana alikuwa:
Nao wana wa Dishoni walikuwa:
42Wana wa Eseri walikuwa:
Wana wa Dishani walikuwa:
(Mwa 36:31‑43)Bela mwana wa Beori, ambaye mji wake ni Dinhaba.
44Bela alipofariki, Yobabu mwana wa Zera kutoka Bosra akawa mfalme baada yake.
45Yobabu alipofariki, Hushamu kutoka nchi ya Watemani akawa mfalme baada yake.
46Hushamu alipofariki, Hadadi mwana wa Bedadi, aliyeshinda Midiani katika nchi ya Moabu, akawa mfalme baada yake. Mji wake uliitwa Avithi.
47Hadadi alipofariki, Samla kutoka Masreka akawa mfalme baada yake.
48Samla alipofariki, Shauli kutoka Rehobothi ngʼambo ya Mto Frati, akawa mfalme baada yake.
49Shauli alipofariki, Baal-Hanani mwana wa Akbori akawa mfalme baada yake.
50Baal-Hanani alipofariki, Hadadi akawa mfalme baada yake. Mji wake uliitwa Pau, na mkewe aliitwa Mehetabeli binti Matredi, binti Me-Zahabu.
51Naye Hadadi pia akafa.
Timna, Alva, Yethethi,
52Oholibama, Ela, Pinoni,
53Kenazi, Temani, Mibsari,
54Magdieli na Iramu.