1 Nyakati 17

1 Nyakati 17

Ahadi ya Mungu kwa Daudi

(2Sam 7:1‑17)

1Baada ya Daudi kuingia rasmi katika jumba lake la kifalme, akamwambia nabii Nathani, “Hebu tazama, mimi ninakaa kwenye nyumba nzuri iliyojengwa kwa mwerezi, wakati Sanduku la Agano la Bwana liko ndani ya hema.”

2Nathani akamjibu Daudi, “Lolote ulilo nalo moyoni mwako litende, kwa maana Mungu yu pamoja nawe.”

3Usiku ule neno la Mungu likamjia Nathani, kusema:

15Nathani akamwarifu Daudi maneno yote ya maono haya.

Maombi ya Daudi

(2Sam 7:18‑29)

16Ndipo Mfalme Daudi akaingia ndani, akaketi mbele za Bwana , akasema:

Neno: Biblia Takatifu™ Neno™ Hakimiliki © 1984, 1989, 2009, 2015, 2025 na Biblica, Inc. Imetumiwa kwa ruhusa. Haki zote zimehifadhiwa duniani kote. Kiswahili Contemporary Version™ Copyright © 1984, 1989, 2009, 2015, 2025 by Biblica, Inc. Used with permission. All rights reserved worldwide.
Published by: Biblica, Inc.