The chat will start when you send the first message.
1Andika hivi kwa malaika wa kanisa lililoko Sardi:
Huu ni ujumbe kutoka kwake Yeye mwenye roho saba na nyota saba.
7Andika hivi kwa malaika wa kanisa lililoko Filadelfia:
Huu ni ujumbe kutoka kwake aliye mtakatifu na wa kweli, anayeshikilia ufunguo wa Daudi. Anapofungua kitu, hakiwezi kufungwa. Na anapofunga kitu hakiwezi kufunguliwa.
14Andika hivi kwa malaika wa kanisa lililoko Laodikia:
Huu ni ujumbe kutoka kwa yeye aliye Amina, shahidi mwaminifu na wa kweli, aliye chanzo cha uumbaji wa Mungu.